Mary: Mambo?
Ally: Poa
Mary: Mbona kimya?
Ally: Nipo
Mary: Baby nadaiwa kodi ya nyumba hapa
Ally: Mi nilizijua hizo kero ndio maana tukajenga nyumba na mke Wangu
Mary: What.?
Ally: Nyumba
Mary: Umenichoka kwa Kweli
Ally: Tafuta mwanaume mwenye akili kama mimi mjenge

😂🤣😂🤣😂🤣
#ChekanaZephiline