Teddy: Naomba tuachane mimi nawewe, siwezi kuishi maisha kama haya na wewe, tena nimechoka
Zephiline: Kwanini jamani!!, umeshapata mwingine tena?
Teddy: Ndio na ni handsome na tajiri kuliko wewe
Zephiline: Jina lake Johnson?
Teddy: Mnh!... wewe umemjuaje?
Zephiline: Hiyo ni akaunti yangu feki facebook
Teddy: OMG...! Jamani baby am sorry...
Zephiline: Baby baba yako

#ChekanaZephiline