Cheka na Zephiline
Ingia(Log In) Kwenye Akaunti Yako
Kama Hauna Akaunti
Jisajili(Register)
Ili Ufurahie Kuchat/Kuchekeshana na Wenzako na Kusoma Simulizi


Cheka na Zephiline
Ingia(Log In) Kwenye Akaunti Yako
Kama Hauna Akaunti
Jisajili(Register)
Ili Ufurahie Kuchat/Kuchekeshana na Wenzako na Kusoma Simulizi

Cheka na ZephilineLog in

Tucheke na Kufurahi Pamoja na Kubadilishana Mawazo #ChekanaZephiline

Kama unapata shida ya kujiunga njoo WhatsApp +255 718274413 nikupe msaada
Kama unapata shida ya kutumia forum yetu njoo PM Box(inbox) nikupe usaidizi

Karibuni Sana Tucheke na Kuenjoy Kila Siku
#ChekanaZephiline

JINSI YA KUSOMA SIMULIZI MPYA

Wakati tukisubiri tuwe wanachama wengi zaidi basi ningependa kukujuza unayependa kusoma simulizi

  1. Hakikisha unatumia forum ukiwa na application, kama hauna install hapa Cheka na Zephiline
  2. Fungua application na fuata picha hizi zinavyokuelekeza

Topics tagged under cnzsimulizi on Cheka na Zephiline 20210212

  • Gusa hapo kama unavyoona kwenye picha nimekuelekeza, patafunuka na kukuonesha sehemu ya Video na Simulizi, bonyeza Simulizi


Topics tagged under cnzsimulizi on Cheka na Zephiline 20210213

  • Hapa unakuwa umefungua Simulizi na utasoma zote unazotaka kufuatilia

Topics tagged under cnzsimulizi on Cheka na Zephiline 20210214

  • Baada ya kumaliza na unataka kurudi kwenye forum, bonyeza tena vile vialama kama nilivyoonesha kwenye picha hapa

Topics tagged under cnzsimulizi on Cheka na Zephiline 20210215

  • Hapo bonyeza Forum, utakuwa umerudi kwenye mijadara yetu kama kawaida na kuendeleza burudani

Topics tagged under cnzsimulizi on Cheka na Zephiline 20210216

  • KUMBUKA: Haya yote utayafanya ukiwa unatumia application ya Cheka na Zephiline, kama unasoma haujainstall basi gusa hapa kuinstall Cheka na Zephiline App
  • Hii itakuwa ni kwa muda wakati tukisubiri wanachama wazidi kuja ila mwisho tutaanza kuzisomea ndani ya forum hapa hapa hautakuwa na usumbufu huo tena


#CnZSimulizi