Kama unatembea na mke wa mtu fuata maelezo yafuatayo Nguruwe wewe

1. Akikupigia simu pokea halafu subiri aanze yeye kuongea maana labda aliekupigia mumewe, Kenge wewe

2. Musizoee kuingia gesti moja kila munapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa, Mbwa wewe

3. Mukiingia gesti musiandikishe majina yenu halisia, Paka wewe

4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe, Kuku wewe

5. Usipende kumtumia SMS za kimapenzi kila mara, Bata wewe

6. Mmewe hata akisafiri usiende nyumbani kwake, Kunguni wewe

7. Mmewe hata akisafiri usimruhusu alale kwako muambie akalale kwake, Ngedere wewe

8. Kama jirani yako usimzoee sana watu watawastukia, Mjusi wewe

9. Usipende kupiga nae picha na kuposti mtandaoni, Fisi wewe

10. Mahusiano yako musimshirikishe shoga yake wala rafiki yako, Nyani wewe

11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako, Nguchiro wewe

12. Comment na kushare ujumbe huu, Sisimizi wewe

#ChekanaZephiline