Wazazi wamegundua jinsi ya kukwepa bili za zawadi kwenye harusi za watoto wao, halafu ni kama wapo group moja WhatsApp au Telegram wana share idea
"Tunawapatia kitu cha thamani kubwa kuliko vyote duniani, kitabu hiki cha dini kitawaongoza na kuwapa yote mtakayo, tunawapenda sana"

#ChekanaZephiline