Cheka na Zephiline
Ingia(Log In) Kwenye Akaunti Yako
Kama Hauna Akaunti
Jisajili(Register)
Ili Ufurahie Kuchat/Kuchekeshana na Wenzako na Kusoma Simulizi


Cheka na Zephiline
Ingia(Log In) Kwenye Akaunti Yako
Kama Hauna Akaunti
Jisajili(Register)
Ili Ufurahie Kuchat/Kuchekeshana na Wenzako na Kusoma Simulizi

Cheka na ZephilineLog in

Tucheke na Kufurahi Pamoja na Kubadilishana Mawazo #ChekanaZephiline

Kama unapata shida ya kujiunga njoo WhatsApp +255 718274413 nikupe msaada
Kama unapata shida ya kutumia forum yetu njoo PM Box(inbox) nikupe usaidizi

Karibuni Sana Tucheke na Kuenjoy Kila Siku
#ChekanaZephiline

NAMNA YA KUJUA KAMA MTU WAKO ANA MCHEPUKO

Soma na fuata masharti vizuri:

1. Chukua simu yake kisha pata namba yake ya IMEI, kwa kuminya *#06#, kisha andika namba hiyo pembeni.
2. Chukua namba ya IMEI yako na namba ya vocha uliyotumia mara ya mwisho, andika pembeni.
3. Subiri mpaka dakika chache kabla ya saa sita usiku maana huu ndio muda kompyuta zinabadili tarehe. Kisha kwenye simu yako andika meseji hii *00002020*165239* kisha weka IMEI namba yako * IMEI ya mpenzi wako *, namba ya vocha uliyohifadhi#, tuma meseji kwenye namba 7567563314.
4. Itakuja namba ambayo baadae utaituma kama vile unataka kuongeza fedha kwenye akaunti yako, itume kwenye simu ya mpenzi wako.
5. Kisha kwenye simu yako ingiza namba 65231 piga itakufikisha kwenye inbox ya mpenzi wako. Kilichobaki sasa ni pass word ya kufugua inbox hiyo. #MUHIMU
6. Ikiwa bado unafuatilia kwa makini maelezo haya magumu na ya kipuuzi /kijinga Ina maana humuamini mpenzi wako. Sasa kwanini usiamtafute mpenzi mwingine kabla hujafa kwa presha.

#ChekanaZephiline