Fungua kitengo unachopenda kusoma post zake, fungua post unayopenda na soma, ukimaliza shuka chini kidogo utaona sehemu pameandikwa 'Reply'

Hapo gusa palipoandikwa 'Message body...' kisha andika maoni yako baada ya hapo bonyeza 'Send' hapo utakuwa tayari umechangia maoni kwenye post ya mwenzako naye atajibu kwa mfumo huo huo ambapo kutakuwa ni chini ya comments zilizopita

Swali lolote njoo WhatsApp 0718274413

#ChekanaZephiline